SASA UKIONESHA MAKALIO HADHARANI UTAAMBULIA KWENDA JELA

Kuonyesha makalio hadharani sasa ni uhalifu katika jimbo la Victoria nchini Australia.
Hatia hiyo inayojulikana kama ''mooning'' kwa lugha ya kiingereza sasa ina hukumu ya hadi miezi sita jela .
Marekebisho ya sheria hiyo yanalenga kutenganisha utani unaohusisha uchi na ule wa kujionyesha kingono.
Sheria hiyo mpya pia inapiga marufuku uimbaji wa nyimbo chafu pamoja na tabia nyengine zinaozoonekana kuwa za uasherati, uchafu, kukera au kutusi.

Comments

Popular posts from this blog

HIZI NDIO SABABU ZINAZOWAFANYA WANAWAKE WENGI WATAMANI KUOLEWA NA MWANAUME MPOLE

Jinsi ya kunyonya Kyuma

Jinsi Ya kunyonya Kyuma Mpaka mwanamke apagawe!