HIVI NI SAHIHI MPENZI WAKO KUWEKA PASSWORD KWENYE SIMU YAKE


Marumbano mengi sana yanahusisha simu za mikononi,,,watu wanatumia simu kutongozana, hadi kukutana na kufanikisha lengo lao, kwa njia ya sms, na hata kwa kupiga…. Ndio maana unakuta watu wengi simu zao zinakuwa na password,… ukiuliza wanajitetea kwamba anataka details zake ziwe sectret… sasa secret hiyo iwe hadi kwa mpenzi wako?? Kama nyie ni wamoja, unaficha nini kwenye simu yako????
AU WEWE MSOMAJI UNAONAJE??????????

Comments

Popular posts from this blog

HIZI NDIO SABABU ZINAZOWAFANYA WANAWAKE WENGI WATAMANI KUOLEWA NA MWANAUME MPOLE

Jinsi ya kunyonya Kyuma

Jinsi Ya kunyonya Kyuma Mpaka mwanamke apagawe!